Friday, August 24, 2007

JAMAA WAMEGOMA HAPA.....

Ndg zangu baba moja mama moja PMb&CM wamegoma kuingia kula pindi ndani ya class hii kwakuwa mazingira sio condusive na pia ilikuwa stoo b4..Kwa sasa baada ya strike hiyo iliyodumu takribani kwa wiki nzima uongozi wa serikali ya wanachuo wamesimamia usafi wa sehemu hiyo na next monday jamaa watajitoma ndani ya nyumba tayari kwa kula vitini...

UHABA WA PC....

Nowdayz pc imekuwa inshu jamaa hapo mlangoni nimewabamba wakisubiri kuingia ktk comp lab ya koleji..tathmini yangu inaonyesha kwamba mahitaji baada ya mkuu wa chuo kuweka msisitizo juu ya matumizi ya pc yamekuwa makubwa kulinganisha na awali.

SALA YA IJUMAAA.....

Waislam wa jumuiya ya motco wakifuatilia kwa makini hotuba ya swala ya ijumaa kabla ya swala yenyewe iliyosalishwa na Sheikh Adam Dudu.

WADAU WAKIPITIA BLOG

NIKO NA WADAU OFSIN...

MAZINGIRA MZUKA 2...

ZE COMEDY NOMA

Ni lisaaa limoja kabla ya likipindi la ze comedy kuanza umati huu ulikuwa tayari umefurika ktk kideo kinachopatikana ukumbi wa chakula ili kumshuhudia mkandamizaji na wenzako kukonga nyoyo zao..jamaa wanasababisha mpaka nyumba za ibada kuwa na mahudhurio machache pindi kipindi cha kikiwa hewani

HAPA NDIO KIKAPU KINAKAMULIWA

Jamaa jana walikula tizi la kufa m2 ili kukabiliana na game lao kali wanalotarajia kulipata kati yao na chuo cha uandishi wa habari...