Thursday, February 14, 2008

HONGERENI WADAU......



Dah wadau napenda kuwapongeza kwa kufanikiwa kuchukua kiji nondo mara baada ya kuutaabika kwa takribani miaka miwili natoa pongezi za dhati kwenu mungu awabariki....
Usiniulize zangu ziko wapi?Jamaa punde watakuwa civil servants kitengo flani kinachohitaji raia kwa wingi wenye sifa

MAZINGIRA MSIMAMO MO TOWN...




LEO C NDO HIVI AU?


Jamani mie nimeona kwa cku kama ya leo nije kihivi japo kuwa mamsap yuko far

Monday, February 11, 2008

WADAU MSIOONE KIMYA


Tafadhalini wadau msione kimya nashindwa kuweka mambo mapya kutokana na ile kamera yetu kuharibika..pili niko ktk mitihani ambayo inaniki buzy kimtindo ila nawaahidi mwanzoni mwa mwezi wa 3 tegemeeni v2 vikali toka uswazi kwani ofisi iko mbioni kufunguliwa mitaa ya uswazi komakom-m/nyamala ambayo itajulikana kama GWARA GWARA INTERTAINMENT.Shukrani za dhati zimfikie mh.fede kwa comment zake muhim ktk kuleta uhai wa blog hii.ahsanteni