Monday, August 13, 2007

MAPOROMOKO


Ninampango kushinikiza maporomoko haya yatumike ktk uzalishaji wa umeme

WADAU FLANI NADHANI WANAPAPATA HAPA.....!!!!

KEMPKTIST


Nyuma yangu ndio KEMPKTIST yetu ndani ya motco..Kipindi cha bajeti ngumu wateja huwa wengi ndani ya hotel hiyo

JENGO LA OFFICE ZE2.


Nyuma yangu ni jengo ambalo team nzima ya blog hii inapatikana.

Hata kama game tuff sometym smile muhim

MDAU MKUU

Mdau kanitumia...

NIKIWA NA M/KITI WA KAMATI YA SHERIA MOTCO

Kwa wasio mjua huyu ndio mwenyekiti wa kamati ya sheria motco.Mh.Warioba hakukosea kumteua kijana huyu.

SIO MKWARA JARIBU.........!!!!

Tour ktk milima uluguru

Mdau pembeni yangu anaongoza kwa ubishi...

Mdau wangu ktk maswala ya ubish siku aliyonitembelea OFSINI kwangu..

Usafi muhimu


Ndani ya mollywood(Mawenzi) uchafu utake wewe mana full mawota

Ndani ya self contained za Mawenzi

Full snap

Mazingira ya kuvutia motco

Yaani kwa pause lolote utatoka bomba kutokana na background za kufa m2..

Bi.KIDUDE


Kama binadamu anaweza kufikia kupewa heshima ya kuwa “taasisi”(institution) katika jambo fulani basi Bi.Kidude anaweza kuwa mmojawapo. Ukiiweka mezani historia ya muziki wa taarabu na tamaduni za unyago visiwani Zanzibar ni wazi kwamba katika meza hiyo pembeni yake ni lazima aketi Bi.Kidude. Uzoefu na uelewa alionao katika idara hiyo hauna mpinzani. Inaaminika kwamba ndiye mwanamke,mwimbaji mkongwe kupita wote Afrika Mashariki na Kati.

NILIPO SASA


Wadau ktk mji huu ndio nilipo kwa sasa ninajiaandaaa kuchukua half-nondo ya elimu karibuni sana

Kazi kwerikweri

Safu ya ushambuliaji ya twanga ikiongozwa na bibiye Aisha

INAPENDEDHAAAA...

Ni jambo ambalo kila mmoja we2 aliyekamilika analiota ucku na mchana basi kwa wale waliolifanikisha hatuna budi kuwa sifu na kuwa tia moyo...Nakutakia maisha mema bwana lucas

JO CAT

balozi wa redds 2006 joketi akitangaza namna shindano la kumsaka balozi wa redds mwaka huu litavyokuwa leo katika ukumbi wa hoteli ya beach comber ambako warembo hao wamepiga kambi. toka shoto ni wabunifu wa mitindo kevin mosha na ally rhemtullah, joketi, meneja wa redds mpeli nsekela na miss tz 2006 wema sepetu.

mshindi wa tuzo ya mitindo ya balozi wa redds 2007 atanyakua mkwanja wa milioni 2 unusu na alawansi ya laki 2 kila mwezi kwa mwaka mzima. vigezo 10 vya mshindi ni kwamba anatakiwa awe:

1. mchangamfu, mwenye ucheshi na mvuto
2. uwezo wa lugha za kiinglishi na kiswahili
3. mwepesi kuelewa, kufikiria na kuchambua mambo
4. utulivu wa kujiamini bila jazba
5. hekima, busara na tabia njema
6. miondoko ya kimaonyesho ya mitindo ya nguo
7. ufahamu na uelewa wa mambo ya mitindo ya kitaifa na kimataifa
8. ufahamu na uelewa wa kinywaji cha redds
9. awe na mvuto katika picha
10. bashasha, mchangamfu, mwenye mlahaka na mkabala mwema

futi kamba: awe na urefu wa walau futi 5 na inchi 8, kiuno inchi 26-28, kifua inchi 32-34 na hipsi inchi 36-3
7

Usichungulie wewe...vp?

MA miss we2...!