Saturday, August 11, 2007

Wadau lazima mchonge...my naniiiiiiiiiiiii,,.,...

2WE MAKINI SIO KUUA TU UNATESA SANA....

FULL HAIBA........!!!!!

Mdau wangu akifanya tour ktk milima ya uluguru

MDEBWEDOOOO....!!!


Hawa jamaa watawa ponza waumi wa dini mbalimbali kwani nyakati wa kipindi cha ze KOMED nyumba za ibada huwa na maudhurio machache...Jamani waumini wenzangu tubadillike kwani haya ni mambo ya mpito na tutayakuta ktk maisha ya milele...TUBADILIKE

Mdau mkubwa wa blog hii


Kwa wale wasiomfahamu huyu ni mdau wangu mkubwa aliyenipatia supot kubwa ktk blog hii...hapo nilimnyaka maeneo flani akipitia blog hii..amenichimbia mkwara nisiorodheshe jina lake hataki tabu...kama utabahatika kukutana na mkurugenzi wa blog hii ukipitia habari kuna zawadi nono....

BREAKING NEWZZZZ......


HABARI TULIZOZIPATA SASA HIVI NI KWAMBA MYUZISHENI MKONGWE WA KONGO MADILU MULTI SYSTEM AMEFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI KUTOKANA NA MARADHI YA PRESHA KWA MUJIBU WA TV YA KINSHASA. HABARI ZAIDI BAADAYE

NIMEKUBALI VITULI WANAUME CAMP...FULL SHANGWE..!

Wadau poleni sana kama hukupokea mwaliko wa kuudhuria party ya vituli ktk harakati za kuwakaribisha fisrt yr(NJUKA) ndani ya bweni la vituli...Kwa kweli ilikuwa full makamuzi tulikamua pilau na vinywaji kibao tukiongozwa na rais wa chuo na msafara wake Bwana Salum Milongo na kusakata mziki mnene ulioshushwa na Dj mkali kutoka KIBO COMPANY...Kwa kweli wadau inabid tujifunze ushirikiano wa wananchi wa jamuhuri ya vituli ulionganishwa na rais wao Bwana Mkama Peter.,,,,,,,Nawapa shavu vituli kwa yote bila kumsahau katibu wao Bw Frank kwa kunipatia mwaliko maalum.....picha ziko ktk processs punde zitakuwa hewani....