Sunday, March 21, 2010

TUNARUDI TENA

Napenda kuchukua nafasi hii kumpa pole mdau wangu kupitia vidole vyake Mh. Elias Constance wa pale TIA pole kwa yaliyotokea uckate tamaa kaka ndio mitihani.waswahil wanasema baada ya taabu faraja yaja..endelea kufuatilia mdau..
Bila ya kuwasahau wadau wengine,jamani nimekabwa na shule pamoja na majukumu ya g=hapa na pae inshaalah nataraji kupata camera nyingine punde 2takuwa pamoja