Monday, February 11, 2008

WADAU MSIOONE KIMYA


Tafadhalini wadau msione kimya nashindwa kuweka mambo mapya kutokana na ile kamera yetu kuharibika..pili niko ktk mitihani ambayo inaniki buzy kimtindo ila nawaahidi mwanzoni mwa mwezi wa 3 tegemeeni v2 vikali toka uswazi kwani ofisi iko mbioni kufunguliwa mitaa ya uswazi komakom-m/nyamala ambayo itajulikana kama GWARA GWARA INTERTAINMENT.Shukrani za dhati zimfikie mh.fede kwa comment zake muhim ktk kuleta uhai wa blog hii.ahsanteni