Friday, August 10, 2007

Nimependedha!

kazi kwenu nime2miwa..

dogo janja...uncle huyo

ah cjui nani?nimemsahau kidogo

Oooh sema sasa sio mavazi 2....!

tuoneane huruma wajamen?

huyu ndio bi mkubwa wangu wadau.....!



Nani kafunika?



nako2nacko


hawa ndo vijana wanaosumbua katika anga za bongo hip hop wajulikanao kama knuckle2knuckle. inafurahisha kuona sura mpya zinatinga uwanjani na kuja juu kwa kasi

Prodyuza mkali....


Kwanini watz tuanakosa uzalendo?Jamaa kweli ni mkali na wimbo wa nyota yangu ulioimbwa na TID mi naamin ni umetoka ktk ardhi yetu na wengine ndio wamecopy...2we wazalendo 2sisubiri kusifiwa...

Hawa ndio wakali wa ubongo wa fleva kwa sasa

Nani kasema ticha hawezi kudanki?


Hicho ni kikosi kamili cha timu ya mpira wa kikapu chuo cha ualimu mji kasoro bahari..

Wapi hapa?

B4 DEATH U ARE NOT COMPLETE...PLZ CONTRIBUTE AS U CAN.....


Ukimuona kwa sura, ni msichana mzuri mwenye macho ya kuvutia, lakini masikini hana raha ya maisha!
Mtoto Sofia James Mwiga (17) mkazi wa Manispaa ya Tabora nchini Tanzania anaishi kwa mateso kufuatia ugonjwa wa ajabu wa kuvimba miguu hali iliyomfanya ajione mpweke machoni mwa jamii huku akishindwa kuanza shule.
Licha ya baba yake kumtafutia matibabu kwa zaidi ya miaka 10 bado hajafanikiwa kwani kila Daktari anayemfanyia uchunguzi hutoa maelezo kuwa hapa Tanzania hawezi kufanyiwa oparesheni isipo kuwa nje ya nchi ambako kuna Wataalam na vyombo vya kitabibu vya kisasa..
Kutokana na umasikini alionao baba mtu ameshindwa kumsaidia badala yake amebaki akisubiri miujiza ya mungu ishuke pengine atapata mfadhili atakaye weza kumsaidia kupata matibabu hivyo anawaomba wasamaria wema popote duniani waweze kumsaidia kuokoa maisha ya mtoto wake huyo.
Hivi sasa mtoto huyu yupo katika hospitali ya Lugalo, jijini Dar es salaam akisubiri atakayeweza kujitokeza na kumsadia kupata matibabu sahihi nje ya nchi, kwa mujibu wa mdaktari, anahitaji operation ya kuondoa nyama hizo zilizozidi.
Mungu kama amekupa, basi kumbuka na wenye shida….naamini kuna mtu hapo anaweza kubadili maisha ya msichana huyu kwa uwezo wake mola!
namba ya simu ya baba mzazi wa msichana huyu ni +255 753 916 690

40 YA MPIGANAJI WE2


NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WA HAYATI AMINA CHIFUPA USIKU WA IJUMAA HII WANATARAJIWA KUFIKA NYUMBANI KWA MZEE CHIFUPA MIKOCHENI TPDC KWA MKESHA WA AROBAINI YA MPENDWA WETU ITAYOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI...MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI

Haya tena mwanzo mwa msufi wa bba2.....


Jamani huyo ndio mwakilishi we2 ktk jumba la bba huko kwa babu je itakuaje?fuatilia..ktk blog hii kwani tutakuletea matukio yote.