Monday, August 27, 2007

UMEPONA?

Jamaa ni miongoni wa waliopewa shavu na prezda we2 wa motco msela ni waziri wa elimu,juzi nilimtembelea hosp alikuwa anasumbuliwa na malaria sasa leo nimekanyaga kwa ofis nikamkuta nikampa hiyo..kaka umepona au umemiss pc

NIMEWAKUBALI MANISPAAA....!!!

Ni nyakati za mchana nilipotembelea town niliwakuta wafanyakazi wa manispaa ya mji kasoro bahari wakiwajibika ktk kutoa mabaki ya tope yaliyomo ktk mitaro kuzunguka stend ndogo ya mkoa.Hongera sana manispaa kwani tahadhari ni bora kuliko kusubiri

MDAU KANITUMIA

Ahsante sana mdau kwa kunitumia hiyo

MAJADILIANO.....?

Wanachama wa ccm mg vijijini wakijadiliana mawili matatu kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa waakilishi wao mkoa

KIJIWE KINAPOKUWA KIGUMU...!!

Hii nayo niliivyatua nikiwa ktk daladala..inaonekana jpili ni cku nzito sana kwa taxi hizi.....

KUTOKA DIRISHA LA HIACE

Hata barclays inapatikana mji kasoro bahari..hii snap nilinyaka nikiwa ndani ya daladala nilikua najaribu kutenda kama atendavyo mdau wangu mkuu cpwaaaaa....!

SOKO KUU LA MJI KASORO BAHARI