Jamaa ni miongoni wa waliopewa shavu na prezda we2 wa motco msela ni waziri wa elimu,juzi nilimtembelea hosp alikuwa anasumbuliwa na malaria sasa leo nimekanyaga kwa ofis nikamkuta nikampa hiyo..kaka umepona au umemiss pc
Ni nyakati za mchana nilipotembelea town niliwakuta wafanyakazi wa manispaa ya mji kasoro bahari wakiwajibika ktk kutoa mabaki ya tope yaliyomo ktk mitaro kuzunguka stend ndogo ya mkoa.Hongera sana manispaa kwani tahadhari ni bora kuliko kusubiri
Hata barclays inapatikana mji kasoro bahari..hii snap nilinyaka nikiwa ndani ya daladala nilikua najaribu kutenda kama atendavyo mdau wangu mkuu cpwaaaaa....!