Monday, February 11, 2008

WADAU MSIOONE KIMYA


Tafadhalini wadau msione kimya nashindwa kuweka mambo mapya kutokana na ile kamera yetu kuharibika..pili niko ktk mitihani ambayo inaniki buzy kimtindo ila nawaahidi mwanzoni mwa mwezi wa 3 tegemeeni v2 vikali toka uswazi kwani ofisi iko mbioni kufunguliwa mitaa ya uswazi komakom-m/nyamala ambayo itajulikana kama GWARA GWARA INTERTAINMENT.Shukrani za dhati zimfikie mh.fede kwa comment zake muhim ktk kuleta uhai wa blog hii.ahsanteni

Saturday, September 15, 2007

MAANDALIZI YA FTARI...



Dah wadau wangu ramadhani mosi nilipata mwaliko kukamua ftari maeneo flani nikaibamba hiyo wakati wa maandalizi yake..ilikuwa tight kinyama...wadau sometym kutimiza nguzo za dini muhimu sana kuliko jambo lolote tukubali ukweli tusijifanye vipofu eti kana kwamba hatuoni wala hatusikii katika maswala ya msingi kama haya..NAWATAKIA MFUNGO MWEMA

MDAU TOKA KIBO COMPANY

Friday, September 14, 2007

HUYO DOGO FACE YAKE SIO NGENI...AKIWA NA DADIII YAKE


SI RUKSA KUKAAA HAPA


Nadhani wale wadau wamenipata kwamba kwanini hairuhusiwi kukaaa hapa kwani kuna baadhi ya wanajamhuri hawapendezi na kitendo cha raia kukaaa hapa..Jamani tubadilike kidogo kwani vikao viko vingi mpaka mkae hapo?

MO'TOWN BADO PAKO JUU.....



Wadau hizo ni snap kutoka msamvu stand ya mabasi na nyingine ni kutoka round about ya mjini stnd ya daldal

USTAADHIIIII