Timu nzima ya vijana wanaosomea kufundisha masomo ya physics &mathematics wamefanikiwa kumuua nyoka aliyekuwa anazengea ktk eneo lao la fatiki..Timu hiyo iliyokuwa inaongozwa na Ndg.Abdulrahim walifanikiwa kumtoa roho mnyama huyo hatari..Hongereni kwa ushujaa wenu
Thursday, August 16, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment