Ndani ya Fr.FRANKEN mkuu wa chuo akiwakaribisha mwaka wa kwanza na kufunga semina yao iliyoendeshwa kwa cku 3 juu ya kuelewa taratibu na kanuni za chuo..Jamaani 1yr semina itakuwa imeeleweka na sheria zitafuatwa..karibuni chuoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment