
Japokuwa haonekani vizuri naamini kwa wale wafuatiriaji wanampata kijana huyu ni C-PWaaaaaaaaaaaaa....Jamaa amenipa shavu la kushare picha mbalimbali.Mshikaji ndio chanzo cha chuo changu cha kutengeneza blog hii na pia msela ni SOSHO kinoma..Tembelea blo lake la kufa m2 www.simuyangukamera.blogspot.com