skip to main |
skip to sidebar
Jamaaa hapo juu amekula shavu ktk serikali ya wanajamhuri ya motco kwa kupata nafasi ya kuwa mwandishi wa rais..Kaka kaza buti na tunakutarajia kutenda haki pande zote za shilingi kwa kutumia silaha yako ya karamu na karatasi...KAZI NJEMA