Ni miongoni mwa mambo ya vituli hawa vijana kutoka kitaaani wako hapa collage mida ya jioni katika kiwanja cha vituli kwa kujifua hii ni kutokana na uhaba wa viwanja vya michezo huko kitaani kwao..kocha maximo anahitajika kutembelea hapa mana madogo wanakamua kisawaswa kama brasil vile
No comments:
Post a Comment