Timu nzima ya vijana wanaosomea kufundisha masomo ya physics &mathematics wamefanikiwa kumuua nyoka aliyekuwa anazengea ktk eneo lao la fatiki..Timu hiyo iliyokuwa inaongozwa na Ndg.Abdulrahim walifanikiwa kumtoa roho mnyama huyo hatari..Hongereni kwa ushujaa wenu
No comments:
Post a Comment